Geric FM

KIMOKA & MASAUTI_KIVURUGE COVER

January 23, 2018
Baada ya msanii Nandy kuja vizuri na ngoma yake ya kivuruge na ngoma hio kuonekana kufanya vizuri sana mtaani na katika vichwa vya mashabiki leo hii KIMOKA & MASAUTI wametufikishia cover yake yenye maujuzi na utamu zaidi. Unaweza kuisikiliza hapa na kisha ukatoa comment yako.
Download
KIMOKA & MASAUTI_KIVURUGE COVER KIMOKA & MASAUTI_KIVURUGE COVER Reviewed by DjGeric on January 23, 2018 Rating: 5

KUJAZA UWANJA NDIYO HABARI TZ

January 02, 2018

Tazama mabadiliko ya mashabiki wa mziki Tanzania kutoka mziki mzuri hadi kujaza uwanja. Hii ni baada ya Cassper Nyovest kutoka South Africa kubadilisha upepo wa game ya mziki hapa Tanzania.
zaidi tazama video hii hapa fupi.>>>>>>>>
download App yetu hapa. http://www.gapksforpc.win/download-dj-geric-blog-app-for-pc/com.djgeric.app.tz/

KUJAZA UWANJA NDIYO HABARI TZ KUJAZA UWANJA NDIYO HABARI TZ Reviewed by DjGeric on January 02, 2018 Rating: 5

JE UNAHUDUMIA AU UMEWAHI KUHUDUMIWA SEHEMU HIZI?

January 01, 2018
Inawezekana umewahi kuyatumia au kuyasikia majina haya lakini pengine hukutumia kwa usahihi. Leo tumekusogezea maana harisi ya majina haya na matumizi yake sahihi. Tazama katika video hii hapa ili kuweza kuwa miongoni mwa wajanja na wahudumu au watumiaji wazuri wa majina haya.
PUB, INN, PUBLICAN. >>>>
JE UNAHUDUMIA AU UMEWAHI KUHUDUMIWA SEHEMU HIZI? JE UNAHUDUMIA AU UMEWAHI KUHUDUMIWA SEHEMU HIZI? Reviewed by DjGeric on January 01, 2018 Rating: 5

WEWE SI UNATUMIA FACEBOOK?

December 30, 2017
Wakati unatumia mtandao huu kuna mambo unapaswa kuzingatia hasa wakati wa kuomba na kupokea marafiki wapya.
tazama video hii hapa ili kujua ni mambo gani hayo.>>>>>>
WEWE SI UNATUMIA FACEBOOK? WEWE SI UNATUMIA FACEBOOK? Reviewed by DjGeric on December 30, 2017 Rating: 5

Je malengo yako ya kuweka status yanatimia?

December 29, 2017

Image result for whatsapp status
Tazama video hii fupi kwa maelekezo ili kuweza kufikia malengo yako ya kutumia whatsApp na status zako.

unaweza pia kujiunga nasi kupitia App yetu ya DjGeric kwa kuipakuwa google app store


Je malengo yako ya kuweka status yanatimia? Je malengo yako ya kuweka status yanatimia? Reviewed by DjGeric on December 29, 2017 Rating: 5

Vistros

Powered by Blogger.