Geric FM

TUNZA BETRI: MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI UNACHAJI SMARTPHONE YAKO

Image result for phone chargingOndoa cover ya simu kama inayo maana hii huifanya simu kuwa ya moto hivyo kuonesha imejaa kumbe bado hivyo kuharibu betri ya simu yako

Usinunue wala kutumia chaja za simu za bei ndogo maana hizi hazina uimara wa kukabiriana na umeme pindi unapotokea mshutuko.

Usichaji simu yako kwenye pc au Radio zenye sehemu ya USB ingawaje huwa zinaingiliana.

Soma zaidi hapa.>>>>>https://www.gadgetsnow.com/slideshows/how-to-charge-your-smartphone-10-dos-and-donts/try-removing-the-phones-protective-case-while-charging/photolist/58973696.cms
TUNZA BETRI: MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI UNACHAJI SMARTPHONE YAKO TUNZA BETRI: MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI UNACHAJI SMARTPHONE YAKO Reviewed by DjGeric on November 25, 2017 Rating: 5

No comments:

Vistros

Powered by Blogger.