Msanii wa mziki kutoka kenye aliyewahi kutamba na kali kama vile: Sweet love, Liar,Running low na zingine nyingi hivi karibuni alitangaza kuachana na mziki wa dunia na kuanza kuimba mziki wa injiri na hivi leo ametufikishia hii hapa inayokwenda kwa jina la sifa
Wahu kaja na "SIFA" Baaada ya kuachana na muziki wa dunia na kugeukia injiri
Reviewed by GericFM
on
November 22, 2017
Rating: 5
Techmax is your news, entertainment, music fashion website. We provide you with the latest breaking news and videos straight from the entertainment industry.
We are keen in making the website designs, we love our work and everybody should love theirs.
No comments: