ilipotoka ilikuwa inaweza kutumia Android 5.0 Lollipop ya mwaka 2014 tangu mwaka huo hadi leo google wameshatoa matoleo matatu ya Android ambayo pia hawakuamini kama yangeifaa hadi kufikia mwaka huu japo toleo la mwisho la mwaka jana Android 7.0 Nougat. limeweza kuendelea kufanya kazi katika simu hio ingawaje sio kwa kiwango bora hivyo wapo njiani kuleta Android 8.0 Oreo kwa ajili ya kuipa uwezo mkubwa simu hio. soma zaidi...>>>>http://www.trustedreviews.com/news/samsung-galaxy-s6-android-oreo-update-334307
Unamiliki Samsung Galaxy S6?. Android 8.0 Oreo hii hapa kwa ajili yako
Reviewed by DjGeric
on
November 25, 2017
Rating:
No comments: